MSOMI ALIYETOBOA KIMAISHA KUPITIA UFUGAJI BAADA YA KUKOSA AJIRA
Daily News Digital
0:00 / 0:00
MSOMI ALIYETOBOA KIMAISHA KUPITIA UFUGAJI BAADA YA KUKOSA AJIRA
71 331 просмотр · 1 год назад
Daily News Digital
284 тыс. подписчиков
71 331 просмотр · 1 год назад
DODOMA: YOHANA Yindi maarufu Yindi Makuchi, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baada ya kukumbana na changamoto ya wimbi la ukosefu wa ajira aliamua kujikita kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji na baadae kuchi, bata mzinga, bata bukini na kanga na sasa anakula matunda kwa kuiniza kipato kikubwa jambo ambalo hataki tena kusikia habari za ajira.
Ni kwa namna gani aliweza 'kutoboa' kimaisha kupitia ufugaji? Fuatana nami katika makala hii fupi unufaike pengine na wewe ambaye unakumbana na changamoto ya ajira unaweza kupata mwanga wa nini ufanye uweze kutoka kimaisha...
Imeandaliwa na Fadhili Akida
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09