Qur-an si inajitosheleza, kwanini tutumie hadithi za mtume (s.a.w)?
Masjid Khalil Magomeni
0:00 / 0:00
Qur-an si inajitosheleza, kwanini tutumie hadithi za mtume (s.a.w)?
76 просмотров · 2 нед. назад
Masjid Khalil Magomeni
669 подписчиков
76 просмотров · 2 нед. назад
SWALI: Allah katumia neno tafsiil katika aya (111, Yusuf)
na (12, Al-isra) .. na kimaana linakuja kuwa ni
kwamba Allah kaifafanua qur'an kiundani
kabisa .. ikiwa maan inakuja hvo ni kwanini sisi
baadhi ya mamb mengi tunahitaji hadithi za
mtume kupata ufafanuz na sio quran yenyewe?
وأقيموا الصلاة Kwa mfano, Allah kasema
lakini ukitizama mtu hatojua namna ya kusali
mpaka aende katika hadithi za mtume (s.a.w),
hapa tafsiil ina maana gani ktk qur'an?
#islam #ibadhi #maswalinamajibu #quran #hadith