Je, Wale Walioshikamana na Asili - Kupitia Qaaidah ya “Asili Katika Vitu ni Uhalali” Huombwa Dalili?
Manhaj Online TV
0:00 / 0:00
Je, Wale Walioshikamana na Asili - Kupitia Qaaidah ya “Asili Katika Vitu ni Uhalali” Huombwa Dalili?
1 510 просмотров · 3 месяца назад
Manhaj Online TV
13 тыс. подписчиков
1 510 просмотров · 3 месяца назад
Katika video hii, kuna uchambuzi wa kina wa kielimu kuhusu majibu kwa Abul Abbas Hassan Seloka juu ya masuala haya ya Taswiir Photography.
00:00 - Utangulizi na Muktadha wa Raddi kwa Abul Abbas Hassan Soloka
01:34 - Madai ya Hassan Soloka: Je, Asili ya Taswiir ni Haramu?
04:07 - Nukta ya 1: Ufafanuzi wa "Asili katika Vitu ni Uhalali"
05:12 - Tofauti kati ya Ibadah na Muamalat/'Adat katika Sheria
06:44 - Je, Taswiir ni Ibadah au ni Muamalat?
07:22 - Kauli ya Sheikh Ibn Uthaymeen kuhusu Mashaka katika Hukumu
10:02 - Ufafanuzi wa Kauli "Hakuna Jitihada mbele ya Nas"
11:43 - Hatari ya Taqlid: Haki ya Maulamaa Wote Kusikilizwa
13:45 - Nukta ya 2: Uchambuzi wa Kauli za Sheikh Fawzan na Sheikh Muqbil
16:48 - Sababu ya Kukatazwa kwa Taswiir
19:10 - Nukta ya 3: Kwa nini Maulamaa wanaojuzisha Taswiir hawaombwi Dalili?
26:00 - Hitimisho
🌍 Fuatilia darsa nyingine kupitia: @ManhajOnlineTV
🔗 Jiunge nasi kwa mitandao ya kijamii:
Facebook | Instagram | Telegram | WhatsApp
Tafadhali shiriki kwa kueneza mawaidha haya kwa wengine, nawe utakuwa sehemu ya kuisaidia Da’wah kwa njia ya kheri.