Перейти к содержимому

Fanya Haya Kama Mtoto Anasumbua Kula — Sababu na Suluhisho 🍽️👦

Afya102

0:00 / 0:00

Fanya Haya Kama Mtoto Anasumbua Kula — Sababu na Suluhisho 🍽️👦

1 410 просмотров · 2 месяца назад
Afya102
2,59 тыс. подписчиков
1 410 просмотров · 2 месяца назад
Kama mtoto wako anasumbua kula, anakosa hamu ya kula au anabagua au kukataa vyakula fulani tafadhali fuatilia video hii hatua kwa hatua mpaka mwisho bila shaka utajifunza jinsi ya kuweza kurudisha hamu ya kula kwa mtoto wako. Usisahau kulike, subscribe na kusambaza video hii kwa watu ambao inaweza kuwasaidia. #LisheBora #AfyaBora #ChakulaNiDawa Dondoo Muhimu Katika Video Hii 00:00 - Utangulizi 00:54 - Kupungua Spidi ya Ukuaji 02:35 - Upungufu wa Damu (Anemia) 04:41 - Njaa Iliyojificha 06:24 - Kuota Meno 07:24 - Irregular Snacking 08:52 - Magonjwa 10:05 - Congenital Heart Defect (CHD) 11:03 - Utaratibu Mbaya wa Ulishaji 12:08 - Msongo wa Mawazo (Stress) 12:51 - Food Neophobia 13:48 - Usingizi wa Kutosha 14:37 - Minyoo 15:15 - Hitimisho, Subscribe, Share and Like