"Sitosahau nilivyoona wafungwa wenzangu watatu wakinyongwa" MZEE ALIYEFUNGWA AKIWA NA MIAKA 12
Millard Ayo
0:00 / 0:00
"Sitosahau nilivyoona wafungwa wenzangu watatu wakinyongwa" MZEE ALIYEFUNGWA AKIWA NA MIAKA 12
74 670 просмотров · 8 лет назад
Millard Ayo
6,19 млн подписчиков
74 670 просмотров · 8 лет назад
Mzee Pekosi Mtalikidonga ni miongoni mwa wafungwa watano waliohukumiwa kunyongwa, lakini alinusurika adhabu hiyo baada ya kuachiwa kwa msamaha wa Rais December 9, 2017 ambapo anaelezea vitu ambavyo kamwe hawezi kuvisahau maishani mwake.