Перейти к содержимому

Faida za Castor Oil/Mafuta ya Nyonyo kwenye ngozi na nywele

Simulizi Na Sauti

0:00 / 0:00

Faida za Castor Oil/Mafuta ya Nyonyo kwenye ngozi na nywele

16 507 просмотров · 3 года назад
Simulizi Na Sauti
1,64 млн подписчиков
16 507 просмотров · 3 года назад
Haya ni mafuta halisi kabisa kutoka @nzallacadooil_store yaliyokamuliwa bila kuhusisha moto yaani COLD PRESSED kitaalamu ni kwamba hayajapoteza kirutubisho chochote kwa ajili ya ngozi na nywele FAIDA ZAKE 🌰Yanalainisha ngozi na kung'arisha na kutunza unyevu 🌰Yanasaidia kutibu vidonda 🌰yanapunguza uvimbe (rashes)na muwasho kwenye ngozi 🌰Yanazuia na kuitibu chunusi 🌰Yanapigana na fungusi na kutibu mba 🌰Yanachochea ukuaji wa nywele kwa haraka pia huotesha vipara 🌰Yanatumika kufanyia steaming ya nywele 🌰Yanaondoa michirizi na makovu kwenye ngozi Ziada ya haya yanaweza kutumiwa kama relaxative agent (kulainisha choo)na kusafisha tumbo(detoxification) yakitumika kwa kuliwa KUYAPATA WASILIANA KWA NAMBA HIZI ☎️0714949805 0655265898 0762545741