Перейти к содержимому

NJIA ZA KUTUSAIDIA KUSHINDA KATIKA HALI YA DHIKI: Sehemu ya 10 | Mwl. Nsaghurwe ALPHA

KWELI ITUWEKAYO HURU

0:00 / 0:00

NJIA ZA KUTUSAIDIA KUSHINDA KATIKA HALI YA DHIKI: Sehemu ya 10 | Mwl. Nsaghurwe ALPHA

177 просмотров · 1 год назад
KWELI ITUWEKAYO HURU
248 подписчиков
177 просмотров · 1 год назад
Nakusalimu katika Jina la BWANA na Mwokozi wetu YESU KRISTO. Karibu sana katika mwendelezo huu wa kujifunza NENO LA MUNGU, Imempendeza MUNGU ROHO MTAKATIFU kutufundisha kwa undani juu ya NJIA ZA KUTUSAIDIA KUSHINDA KATIKATI YA HALI YA DHIKI, ili kutusaidia kuwa washindi hata kama tutapita katika mambo ya kuumiza na kukatisha tamaa, badala ya mioyo yetu kuzaa uchungu, hasira, malalamiko, laana na n.k ibaki ikiwa na amani na kuzaa furaha, ili tuzidi kulitumikia kusudi la MUNGU katika maisha yetu. Usiache kufuatilia hii sehemu ya 10, na kuwafundisha wengine, na MUNGU wa Mbinguni akubariki sana sana! AMEN!