Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
Millard Ayo
0:00 / 0:00
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
1 662 797 просмотров · 9 лет назад
Millard Ayo
6,18 млн подписчиков
1 662 797 просмотров · 9 лет назад
May 5, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo Wabunge walikuwa wakijadili na kuchangia mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
AyoTV imenasa hizi za Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.