Перейти к содержимому

Ibada ya waumini wa imani ya Rasta

DW Kiswahili

0:00 / 0:00

Ibada ya waumini wa imani ya Rasta

75 675 просмотров · 8 лет назад
DW Kiswahili
334 тыс. подписчиков
75 675 просмотров · 8 лет назад
Waumini wa imani ya Rasta hufanya ibada yao kila Jumamosi ambapo baada ya hapo hukusanya sadaka ikiwemo pesa, chakula na mavazi na kisha kuwapelekea watu wenye shida. Mwandishi wetu kutoka Mwanza, Tanzania Dotto Bulendu ametuandalia video fupi baada ya kuwatembelea Marasta wakati wakiendesha ibada yao kwenye bustani ya Lalibela, wilayani Nyamagana. Papo kwa Papo 16.02.2018