Перейти к содержимому

JINSI YA KUPATA WATEJA WENGI MTANDAONI (Instagram, Facebook & TikTok) | Victor Mwambene.

Victor Mwambene

0:00 / 0:00

JINSI YA KUPATA WATEJA WENGI MTANDAONI (Instagram, Facebook & TikTok) | Victor Mwambene.

15 615 просмотров · 2 года назад
Victor Mwambene
63,5 тыс. подписчиков
15 615 просмотров · 2 года назад
Namna ya kupata wateja miaka kumi iliyopita ni tofauti sana na miaka ya sasa, Kwa sasa ili kupata wateja wengi na kirahisi unapaswa kujua kunasa wateja kupitia mitandao ya kijamii. Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kupata wateja wengi kupitia mitandao ya kijamii hasa Intagram, Facebook na TikTok. . Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. . KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737. . 1. KANUNI 20 ZA FEDHA. 2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA. 3. NGUVU YA KUJUA.