PSPTB YATOA SIKU 30 KWA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI KULIPA ADA KABLA YA KUWAFUTIA USAJILI
Daily News Digital
0:00 / 0:00
PSPTB YATOA SIKU 30 KWA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI KULIPA ADA KABLA YA KUWAFUTIA USAJILI
130 просмотров · 1 день назад
Daily News Digital
284 тыс. подписчиков
130 просмотров · 1 день назад
DODOMA- BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi 9PSPTB) imetoa siku 30 kwa Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi nchini kulipa ada zao mwaka kabla ya kuwafutia usajili wao.
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo, Godfred Mbanyi ameeleza hayo leo Septemba 14, 2026 wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mkoani Dodoma.
-
Imeandaliwa na Fadhili Akida
-
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09