LIVE | HAYATI JOHN MAGUFULI ARUDI NYUMBANI CHATO
Azam TV
0:00 / 0:00
LIVE | HAYATI JOHN MAGUFULI ARUDI NYUMBANI CHATO
242 093 просмотра · Трансляция закончилась 5 лет назад
Azam TV
3,31 млн подписчиков
242 093 просмотра · Трансляция закончилась 5 лет назад
Msafara uliobeba mwili wa hayati John Magufuli kutoka Mwanza umewasili Chato mkoani Geita kabla ya maziko siku ya Ijumaa (tarehe 26/03/2021). Awali kulifanyika shughuli ya kumuaga katika Uwanja wa CCM Kirumba.