Перейти к содержимому

Dalili za ugonjwa wa figo : Zifahamu dalili kuu za awali za maradhi ya figo

Mshani Wellness

0:00 / 0:00

Dalili za ugonjwa wa figo : Zifahamu dalili kuu za awali za maradhi ya figo

45 264 просмотра · 2 г. назад
Mshani Wellness
102 тыс. подписчиков
45 264 просмотра · 2 г. назад
Figo ni moja ya kiungo muhimu mwilini, vilevile ni moja ya kiungo kinachoshambuliwa na maradhi mbalimbali kama vile mawe kwenye figo, uvimbe na mlundikano wa mafuta. Kuna dalili kadhaa ambazo hujitokeza ikiwa figo zako zitapatwa na matatizo. Baadhi ya dalili hizi ni kukojoa damu, mkojo wenye povu, maumivu ya mgongo na kukojoa mara kwa mara au kukosa mkojo kabisa. Katika video hii utafahamu Dalili za ugonjwa wa figo na kwanini dalili hizi zinajitokeza. YALIYOMO 00:00 Kazi za figo 01:55 Dalili za ugonjwa wa figo Follow us on: Facebook:   / mshaniwellness   Instagram:   / mshani_wellness   Twitter(X):   / mshaniwellness   TikTok: https://www.tiktok.com/@mshani_wellne... Contact: 0743039890