Перейти к содержимому

SIKU 10 ZA MAOMBI | BALI WEWE USALIPO... | MCH. DAVID MMBAGA | SIKU YA KWANZA (1)

SDA Church Magomeni

0:00 / 0:00

SIKU 10 ZA MAOMBI | BALI WEWE USALIPO... | MCH. DAVID MMBAGA | SIKU YA KWANZA (1)

9 794 просмотра · Трансляция закончилась 1 год назад
SDA Church Magomeni
16,2 тыс. подписчиков
9 794 просмотра · Трансляция закончилась 1 год назад
Karibu katika Siku Kumi (10) za Maombi! Tunaamini kwamba maombi ni chimbuko la uamsho wa kweli. Mungu amekuwa akitutendea miujiza mingi tunapomtafuta pamoja kwa kufunga na kuomba. Mada Kuu katika Siku hizi kumi (10) ni "Bali wewe usalipo..."; Na Fungu Kuu linasema; "Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao". ~ 2 Mambo ya Nyakati 7:14 Mhubiri Mkuu: Mchungaji David Mmbaga