Maneno Magumu ya Lema Msibani kwa Ali Kibao: 'Nimeshakufa Jana, Mke Wangu, Watoto Wanalia'
The Chanzo
0:00 / 0:00
Maneno Magumu ya Lema Msibani kwa Ali Kibao: 'Nimeshakufa Jana, Mke Wangu, Watoto Wanalia'
91 854 просмотра · 1 год назад
The Chanzo
259 тыс. подписчиков
91 854 просмотра · 1 год назад
Akizungumza katika msiba wa marehemu Ali Kibao leo Septemba 09,2024, Godbless Lema ameeleza kuwa maisha yake yameendelea kuwa hatarini kutokana na vitisho vya kutekwa. Lema pia ameshangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kutokuchukua hatua za ziada ikiwemo kujiuzulu
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.