Tazameni| AIC Milimani Nairobi KE - Mabalozi Choir
AIC Milimani Mabalozi Choir
0:00 / 0:00
Tazameni| AIC Milimani Nairobi KE - Mabalozi Choir
30 598 просмотров · 2 года назад
AIC Milimani Mabalozi Choir
1,56 тыс. подписчиков
30 598 просмотров · 2 года назад
Tazameni ni wimbo unaotokana na maandiko matakatifu ya Bibilia kwenye kitabu cha Isaya 40:10-11. Ni maombi na tamanio letu kwamba kupitia maneno ya wimbo huu tutaokolewa, tubarikiwe na tuhimizwe katika wokovu.
"Tazameni, Bwana Mungu atakuja kama shujaa, Na mkono wake ndio utakaomtawalia; Tazameni, thawabu yake i pamoja naye, Na ijara yake i mbele zake.
11 Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake; Na kuwachukua kifuani mwake, Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.
Shukrani:
Kanisa: AIC Milimani Nairobi KE
Kwaya: Mabalozi Choir
Mwalimu:Daudi T. Shigela
Producer: LMJ Studio
Lokesheni: Uhuru Park
#Albumlaunch
#MabaloziChoir
#AICMilimaniNairobiKE