Перейти к содержимому

Tunakula Mana-Armee Seben

Armee Seben

0:00 / 0:00

Tunakula Mana-Armee Seben

11 121 просмотр · 11 месяцев назад
Armee Seben
3,73 тыс. подписчиков
11 121 просмотр · 11 месяцев назад
YOHANA 6:31-35 31 Baba zetu waliila mana jangwani kama vile ilivyoandikwa, Aliwapa chakula cha mbinguni ili wale. 32 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Sio Musa aliyewapa chakula kile cha mbinguni, bali Baba yangu anawapa ninyi chakula cha kweli kitokacho mbinguni. 33 Kwa maana chakula cha Mungu ni kile kishukacho kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima. 34Basi wakamwambia, Bwana, sikuzote utupe chakula hiki. 35 Yesu akawaambia, Mimi ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu hataona njaa kabisa, naye aniaminiye hataona kiu kamwe.