DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 15.09.2026 | Jioni | Swahili Habari leo | Podcast
DW Kiswahili
0:00 / 0:00
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 15.09.2026 | Jioni | Swahili Habari leo | Podcast
5 629 просмотров · Трансляция закончилась 9 часов назад
DW Kiswahili
334 тыс. подписчиков
5 629 просмотров · Трансляция закончилась 9 часов назад
Katika Dunia Yetu Leo Jioni:
-Wafuasi wa vyama vya upinzani wameandamana leo katika miji kadhaa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupinga mpango wa kuifanyia marekebisho katiba ya nchi hiyo.
-Katika kuadhimisho Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, ripoti za mashirika mbalimbali zimeonyesha demokrasia barani Afrika ipo kwenye mtihani mkubwa.
-Na Mji wa Nairobi nchini Kenya umeandika historia kwa kuchaguliwa kuandaa Mashindano ya Dunia ya Riadha mwaka 2029.
#dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari #DWKiswahiliJioni #DWKiswahiliPodcast /Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'follow' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.