DAY 4.1:TUMIA NAFASI YAKO KAMA KIJANA ILI KUWA FAIDA KWENYE UFALME WA MUNGU
Loyshock Online tv
0:00 / 0:00
DAY 4.1:TUMIA NAFASI YAKO KAMA KIJANA ILI KUWA FAIDA KWENYE UFALME WA MUNGU
107 просмотров · Трансляция закончилась 11 дней назад
Loyshock Online tv
428 подписчиков
107 просмотров · Трансляция закончилась 11 дней назад
DAY 4.1:TUMIA NAFASI YAKO KAMA KIJANA ILI KUWA FAIDA KWENYE UFALME WA MUNGU
UNATAZAMA SEMINA YA NENO LA MUNGU KATIKA KANISA LA DNPC EDEN - GIDHIM #loyshock Karibu kwenye SEMINA YA VIJANA yenye mada: “Tumia Nafasi Yako Kama Kijana Ili Kuwa Faida Kwenye Ufalme wa Mungu.”
Semina hii inalenga kuwajenga vijana kutambua thamani, vipawa, uwezo na nafasi ambazo Mungu amewapa, na kujifunza namna ya kuvitumia kwa hekima kwa ajili ya kumtumikia Mungu na kuwa baraka kwa wengine.
Usikose ujumbe huu muhimu unaolenga kukusaidia kutambua kwamba ujana wako ni nafasi ya kumtumikia Mungu, kujenga maisha yako na kuleta matokeo chanya katika jamii.
#SeminaYaVijana
#VijanaNaMungu
#UfalmeWaMungu
#VijanaWaMungu