Перейти к содержимому

WATU (3) WAUWAWA KIKATILI MKOANI MANYARA KWA MATUKIO TOFAUTI

One Step Mediatz

0:00 / 0:00

WATU (3) WAUWAWA KIKATILI MKOANI MANYARA KWA MATUKIO TOFAUTI

1 878 просмотров · 1 год назад
One Step Mediatz
8,26 тыс. подписчиков
1 878 просмотров · 1 год назад
WATU (3) WAUWAWA KIKATILI MKOANI MANYARA KWA MATUKIO TOFAUTI. Jeshi la polisi Mkoani Manyara limethibitisha kutokea kwa mauaji ya watu watatu(3) katika matukio matatu tofauti ambapo matukio Mawili yalihusisha migogoro ya mahusiano ikiwemo la mfanyabiashara wa mazao ambapo mke wake anashikiliwa na jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi, huku tukio la pili likihusisha mwanaume kumuua kikatili mke wake kwa tuhuma za kujihusisha na mahusiano mengine nje ya Kaimu Kamanda wa jeshi la polisi Mkoani Manyara ACP Kija Mkoi amekiri kuwepo kwa mfululizo wa matukio hayo matatu likiwemo tukio la mauaji ya Kijana mwendesha Bodaboda katika mtaa wa Negamsi Mjini Babati tukio lilotokea April 11 mwaka huu.