UNAJUA MAISHA YAKO BAADA YA KUFA DUNIANI ?
Chaîne de l'Évangile et conseils
0:00 / 0:00
UNAJUA MAISHA YAKO BAADA YA KUFA DUNIANI ?
167 просмотров · 1 год назад
Chaîne de l'Évangile et conseils
2,35 тыс. подписчиков
167 просмотров · 1 год назад
.Maisha yataisha siku moja hapa duniani. Usomi katika Luka 16 : 19-31
Bwana Yesu alitaka kutuonyesha, kupitia mfano wa tajiri na Lazaro, nini kitatokea baada ya maisha haya dunian, kwa upande mmoja kwa yeye ambaye aliteseka katika dunia hii, bila kuwa na mali. Na kwa upande mwingine kwa yeye atakuwa alitaka kufurahia yeye peke mambo ao vitu alizopata hapa chini.
“Basi kulikuwa mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo nyekundu nabafuta, na kila siku alifurahi na anasa. Na inje ya mulango wake palikuwa na maskini mmoja, jina lake Lazaro, alikuwa na vidonda, alitaka kushibishwa na makombo kutoka meza ya yule tajiri; hata umbwa wakaja na kulamba vidonda vyake” (mstari 19-21).
Bwana hasemi juu ya ubaya ya utajiri ao uzuri wa umaskini waLazaro; mfano huu hautufundishe hivyo. Jina la Lazaro pekee limetolewa; ina maana "msaada wa Mungu" lakini jina la tajiri halikutajwa.
Yesu alisema kuna kitabu cha uzima ambamo muna majina ya wale waliamini, kama jina lako halitaonekana kwenye kitabu hiki utatupwa kwenye moto ya milele. yule tajiri jina yake haijulikane. Ana sura tu, lakini sio moyo. Mstari wa 19 unaeleza maisha yake yalivyokuwa: nguo za bey, kujisifu juu ya utajiri wake, karamu za kila na kunywa na kuishi kwa anasa, akiishi tu kwa mali yake na pesa zake kugaagaa katika raha. Mlangoni mwake analala mtu maskini ambaye amekuwa akiombaomba. Jina lake ni Lazaro. Ni kana kwamba Yesu alitazama katika kitabu cha uzima na kugundua jina lake. Lazaro, kifupi cha Eleazaro, maana yake "Mungu ni msaada." Akiwa amefunikwa na vidonda, lazima alichukizwa na kila mtu aliyepita. Hasa matajiri, alipoingia na kuondoka nyumbani kwake
2. Baada ya kufa kuna maisha. Wamoja watafurahi na wengine watateseka (Verset. 22) kila wanadamu wote, maisha yataisha siku moja katika dunia hii; Na maisha ya umilele itafika na matokeo itakuwa vile ulitayarisha hapa duniani ndivyo itakuwa maisha yako ya umilele Ukweli huu ni lazima uujue.
Lazare anafariki, malaika wakamupelekwa kwa kifua caha Abraham akapumzika, tajiri naye alikufa akazikwa akajikuta iko ndani ya azabu ( v21-23).
Akaomba kwa Abraham amuruhusu Lazaro atie kidole kwenye maji apoleze ulimi wake kwani ameteswa katika moto. Abraham alimujibu:
Mwanangu, kumbuka wewe ulikuwa na vitu vingi vizuri maishani, naye Lazaro aliteseka sana. Hata hivyo, sasa anafarijika lakini wewe unateseka. Isitoshe, kuna shimo kubwa kati yetu nanyi, hivi kwamba wale wanaotaka kuvuka kutoka hapa kuja kwenu hawawezi, wala watu hawawezi kuvuka kutoka huko na kuja kwetu.”—Luka 16:25, 26.
Ndugu mpenzi tajiri hakuomba wamutoshe ndani ya moto aliomba tu maji, Tajiri hakukumbuka kama Lazaro alikuwa na vidonda vya kunuka aliomba tu asaidiwe;
Tajiri hakukumbuka kama Lazaro alikuwa na baki kwa mulango wake akiombaomba tajiri hakumu hurumia masikini lazaro.
3. Kuamini Yesu ni njia ya kuepuka taabu ya milele.
Tajiri katika mufano juu, aliomba Abraham atume Lazaro kwa ndugu zake wangali duniani wanaoishi kwa anasa awahubiri ili nao wasimukute ndani ya moto. Alifikiri mutu akifufuka n'a kuenda kuwahibiri watabadilika. Hii nayo haikuwezekana sababu Abraham alisema kuna Musa na manabii wanaohubi wawasikilize. Ndugu hii ni wakati ya kusikia sauti ya wajumbe wanaohuburi Yesu Kristo, wanaohuburi neno la Mungu, geukia Mungu kwa kumupokea Yesu ili uwe mutoto wa Mungu, usiende katika moto wa milele.
Waroma 10:9. Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako ya kuwa Yesu ni Bwana na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimufufua toka wafu, utaokolewa.
Conclusion
*Tuwe na moyo wa huruma kama baba Mungu alivyo tuhurumia
*Maisha duniani ni ya muda usijidanganye,
*Tunapotoka duniani, tunapo kufa kuna wale watafarijika watafurahi, na wengine watateseka katika moto wa milele. Lakini leo ukikiri kwa kinywa chako kama Yesu ni Bwana utaokolewa utafurahi milele na milele.
Tajiri hakukumbuka kama Lazaro alikuwa na vidonda vya kunuka aliomba tu asaidiwe;
Tajiri hakukumbuka kama Lazaro alikuwa na baki kwa mulango wake akiombaomba tajiri hakumu hurumia masikini lazaro.
3. Kuamini Yesu ni njia ya kuepuka taabu ya milele.
Tajiri katika mufano juu, aliomba Abraham atume Lazaro kwa ndugu zake wangali duniani wanaoishi kwa anasa awahubiri ili nao wasimukute ndani ya moto. Alifikiri mutu akifufuka n'a kuenda kuwahibiri watabadilika. Hii nayo haikuwezekana sababu Abraham alisema kuna Musa na manabii wanaohubi wawasikilize. Ndugu hii ni wakati ya kusikia sauti ya wajumbe wanaohuburi Yesu Kristo, wanaohuburi neno la Mungu, geukia Mungu kwa kumupokea Yesu ili uwe mutoto wa Mungu, usiende katika moto wa milele.
Waroma 10:9. Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako ya kuwa Yesu ni Bwana na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimufufua toka wafu, utaokolewa.
Conclusion
*Tuwe na moyo wa huruma kama baba Mungu alivyo tuhurumia
*Maisha duniani ni ya muda usijidanganye,
*Tunapotoka duniani, tunapo kufa kuna wale watafarijika watafurahi, na wengine watateseka katika moto wa milele. Lakini leo ukikiri kwa kinywa chako kama Yesu ni Bwana utaokolewa utafurahi milele na milele.