Перейти к содержимому

KUMUABUDU MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI

Efatha Church Mbeya

0:00 / 0:00

KUMUABUDU MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI

7 976 просмотров · 1 год назад
Efatha Church Mbeya
1,61 тыс. подписчиков
7 976 просмотров · 1 год назад
Kanisa la Efatha Mbeya, linaongozwa na Mchungaji kiongozi wa mkoa wa Mbeya Joshua Josephath Mwingira.  Kanisa lipo Mbeya Mjini: Forest Mpya karibu na Hospitali ya Mkoani Mbeya.  RATIBA ZA IBADA Jumatatu: Semina ya wafanyabiashara na wafanyakazi Muda: Saa 11:00 jioni adi 1:00 Usiku Jumatano: Semina ya Kusifu na kuabudu Muda: Saa 10:30 jioni adi 12:00 jioni Alhamis: Semina ya Ukombozi wa Akili Muda: Saa 10:00 jioni adi 12:00 jioni Jumamosi: Semina ya Vijana  Muda: Saa 10:00 jioni adi 12:00 jioni Jumapili: Ibada Maalumu ya Jumapili  Muda: Saa 2:00 asubuhi adi 5:00 Asubuhi  Karibu Upendwae sana.  Mungu anakupenda Wasiliana na 0759310152/0762311750