Перейти к содержимому

Sylvain HB - MUNGU WA KWELI ( Official Music video)

Jesus - The Living Water

0:00 / 0:00

Sylvain HB - MUNGU WA KWELI ( Official Music video)

2 296 просмотров · 7 мес. назад
Jesus - The Living Water
74 подписчика
2 296 просмотров · 7 мес. назад
This is our official worship swahili song MUNGU WA KWELI writen by Sylvain HB. Through this song, we want you to experience God's boundless love, peace, and presence in your life. Our God is wonderful and very true. Credits: Video production: Gb Creative Audio mixing & mastering: Aury Chris NISHIMWE Band: -Keys: Daniel MUNGANGA & Christian Marlesh -Bass: MakBass -Electric guitar: David Juif -Acoustic guitar: Myself -Drums: Vivi drums Bvocals: Eddy ND. , Wisley & Grace Special thanks: "All glory to God Almighty for inspiring this song! 🙏 Special thanks to CLM Church for spiritual support 💛 And to my amazing wife that I love so much for all the support. Lyrics: Verse 1 Wewe ni mwingi Wa neema Baba wa milele kila asubuhi nita ku sifu Prechorus Kwa neema umeni imarisha katika upendo wako Wewe ni mwamba wangu kimbiliyo yangu. Napo shindwa unani inuwa Uko Karibu yangu daima Wewe ni wimbo wangu wa milele Chorus Uko juu ya milima Watawala na bahari Hakuna aliye kama Wewe Ume jaza moyo wangu na amani Isiyo na kipimo Nita imba sifa We ni Mungu wa ajabu na wa kweli We ni Mungu wa ajabu na wa kweli Eeeee Hallelujah Oooh ooo yeeee come on Verse 2 Wewe ni mwingi Wa rehema baba Wa upendo Kila asubuhi nitaku sifu Prechorus Kwa neema umeni imarisha katika upendo wako Wewe ni mwamba wangu kimbiliyo yangu. Napo shindwa unani inuwa Uko Karibu yangu daima Wewe ni wimbo wangu wa milele (Yee eeeh) Chorus Uko juu ya milima Watawala na bahari Hakuna aliye kama Wewe (umejaza) Ume jaza moyo wangu na amani (yeeeeh) Isiyo (na kipimo ooooh) na kipimo (nita imba aaaah) Nita imba (Yesu eeeh) sifa (sifa zako) We ni Mungu (We ni Mungu wa ajabu) wa ajabu na wa kweli ( ehh ni wewe Bwana) We ni Mungu wa ajabu (We ni Mungu wa ajabu na wa kweli) na wa kweli (Uko juu) Uko juu ya milima (Yee eeeh) Watawala na bahari Hakuna aliye kama Wewe ( Hakuna aliye kama wewe oh Yesu eeeh) Ume jaza moyo wangu na amani (Yeee) Isiyo na kipimo (Amani yako aina kipimo Oooh) Nita imba sifa (Nita imba nita sifu jina lako baba) We ni Mungu (Yeeeehh) wa ajabu na wa kweli (We ni Mungu wa ajabu) We ni Mungu (Mungu wa kweli) (Twakwabudu wewe) We ni Mungu wa ajabu (Kimbiliyo yenu) na wa kweli (Musaada wetu) We ni Mungu wa ajabu na wa kweli (Tuimbe sote Eeeeh) We ni Mungu wa ajabu (come on) na wa kweli (Eeeh We ni Mungu wa ajabu) We ni Mungu (twakwabudu) wa ajabu na wa kweli (Eeeh We ni Mungu wa Amani We ni Mungu wa ajabu (Twakwinuwa) na wa kweli (Eeeh we ni Mungu wa ajabu) We ni Mungu (Twakwabudu Twakwabudu) wa ajabu na wa kweli (Wewe ni Mungu ) We ni Mungu (Wa ajabu uuu) wa ajabu na wa kweli (Eeeh Jehovah Jireh) We ni Mungu ( Jehovah Shammah) wa ajabu na wa kweli (we ni Mungu wa ajabu) Hakuna kama na wewe eeehh Hallelujah Hallelujah We wastahili Spontaneous We watosha We mwaminifu Twaku inuliya mikono yetu Tuki imba unatosha Bwana wa Amani hapa ni wewe Bwana wa Amani hapa We ni mwanzo na mwisho We ni Mungu wa ajabu We ni Mungu wa ajabu We ni Mungu wa kweli We ni Mungu mwaminifu Bwana We ni Mungu mwaminifu Bwana Tumeona baraka zako Tumeona nguvu zako Tumeona mkono Oooh tunaku imbiya Bwana Enda nasi Yeee Jehovah Jireh Jehovah Shammah Eeee Nani nawe ni Mungu wa ajabu We ni Mungu wa kweli We ni Mungu wa kweli We ni Mungu wa kweli We ni Mungu wa kweli We ni Mungu wa ajabu na wa kweli We ni Mungu wa ajabu na wa kweli