#Taaliiq baada ya Muhadhara: Hatari ya Kuweka Nyuma Elimu ya Dini | Sheikh Abuu Hashim حفظه الله
Manhaj Online TV
0:00 / 0:00
#Taaliiq baada ya Muhadhara: Hatari ya Kuweka Nyuma Elimu ya Dini | Sheikh Abuu Hashim حفظه الله
599 просмотров · 14 часов назад
Manhaj Online TV
13 тыс. подписчиков
599 просмотров · 14 часов назад
Katika video hii, Sheikh Abuu Hashim (حفظه الله) anatoa ta'leeq muhimu kufuatia muhadhara wa kielimu uliotolewa na Sheikh Hussein bin Sembe (حفظه الله), akibainisha wazi janga lililopo miongoni mwa Waislamu la kutanguliza elimu ya kidunia na kutelekeza vikao vya elimu ya dini misikitini.
Sheikh anakumbusha wajibu wa kila Muislamu (mkubwa na mdogo) kusoma dini yake ili kufanya ibada kwa uelewa sahihi na si kwa mazoea.
⏱️ MUHTASARI WA VIDEO:
00:00 - Utangulizi & Shukrani kwa Sheikh Hussein bin Sembe
01:03 - Mukhtasari wa Fadhila za Elimu & Mwenendo wa Salaf
02:11 - Janga la Wazazi Kutanguliza Elimu ya Dunia
03:30 - Hakika ya Dunia na Umuhimu wa Kuwekeza Akhera
05:15 - Elimu ya Dini Ndiye Kipaumbele cha Kwanza
06:02 - Waislamu na Kutelekeza Vikao vya Darsa Misikitini
07:16 - Kutafuta Elimu ni Ibada & Njia Nyepesi ya Peponi
08:26 - Hatari ya Kuswali na Kufanya Ibada kwa Ujinga
10:10 - Elimu Iko Daraja ya Uislamu & Ujinga Uko Daraja ya Ukafiri
11:34 - Kusimamisha Hujja: Wajibu wa Kuhudhuria Darsa
14:03 - Amri ya Kujua Kabla ya Kusema na Kutenda
15:33 - Wajibu wa Kusoma Dini kwa Kila Umri (Wakubwa na Wadogo)
17:46 - Hatukuumbwa kwa Mchezo
18:19 - Ukaribisho wa Dawra ya Kielimu ya Imam Ash-Shafi'iy
📌 Subscribe kwenye chaneli yetu ya Manhaj Online TV kwa darsa zaidi, mawaidha, na nasaha za kisheria. 🔔 Gusa kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa kila tunapoweka video mpya.