Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu nilizobakwa'
BBC News Swahili
0:00 / 0:00
Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu nilizobakwa'
7 291 просмотр · 4 года назад
BBC News Swahili
1 млн подписчиков
7 291 просмотр · 4 года назад
Mchungaji Cecilia Muthoni Ssewagaba, alibakwa akiwa na miaka 17 na tukio hilo hatawahi kulisahau maishani mwake. Lakini tukio hili ambalo alilipitia utotoni limeacha kovu moyoni mwake, lakini bila shaka halikumkatisha tamaa ya kusonga mbele na maisha na kuwasaidia wengine waliopitia masaibu kama yake.
#bbcswahili #waridiwabbc #wanawake