Перейти к содержимому

GLOBAL AFYA: KUNYWA MAJI UPATE FAIDA HIZI

Global TV Online

0:00 / 0:00

GLOBAL AFYA: KUNYWA MAJI UPATE FAIDA HIZI

29 531 просмотр · 8 лет назад
Global TV Online
5,94 млн подписчиков
29 531 просмотр · 8 лет назад
GLOBAL AFYA: KUNYWA MAJI UPATE FAIDA HIZI Kwa kawaida, asilimia 70 ya mwili wa binadamu ni maji. Umuhimu wa maji ni mkubwa sana katika mwili na ili mtu awe na afya njema, ni lazima anywe maji ya kutosha ili kuifanya mifumo mbalimbali ya mwili ifanye kazi vizuri. Zipo faida nyingi za kunywa maji, kama ifuatavyo Unywaji wa maji mengi husaidia kuondoa sumu mwilini kwani huwezesha viungo kama vile figo kufanya kazi yake vyema. Unapokunywa maji kabla ya kula chochote asubuhi utauwezesha mwili wako pia kujenga misuli na kuzalisha seli mpya za damu. Wapo watu wanaopenda kupunguza uzito wa miili yao kwani uzito mkubwa si jambo zuri kiafya. Yakupasa kukumbuka kuwa unapoamka na kuanza kutumia vinywaji kama vile soda na juisi (sharubati) vitachangia sana kuongeza uzito wako wa mwili. Utafiti unaonyesha kuwa soda ina sukari gramu 35 na gramu 140 za kalori ikilinganisha na maji ambayo vyote ni sifuri. Hivyo basi, ni vyema ukapendelea kunywa maji zaidi kuliko vinywaji vingine. Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe    / uwazi   FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe    / uwazi1   kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…    / uwazi1      / uwazi1      / uwazi1   WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER