Перейти к содержимому

#LIVE: SIKU YA KWANZA YA KONGAMANO LA TEBETH 7/8/2025

Ufunuo TV

0:00 / 0:00

#LIVE: SIKU YA KWANZA YA KONGAMANO LA TEBETH 7/8/2025

3 915 просмотров · Трансляция закончилась 1 год назад
Ufunuo TV
11,8 тыс. подписчиков
3 915 просмотров · Трансляция закончилась 1 год назад
KANISA LA UFUNUO KIMARA BONYOKWA Kanisa linapatikana kimara bonyokwa ndani ya Jiji la Dar es salaam, kwa wale wanaotokea njia ya mjini kwa kutumia njia ya morogoro road ukifika kimara mwisho upande unaoshukia wa kushoto utaona stendi ya bajaji na magari yanayokuja bonyokwa,kwa wale wano tokea njia ya mbezi mwisho ukishuka kimara unavuka upande wa pili wa barabara ukipanda hayo magari au bajaji utashuka kituo kwa Bendera kanisani utakua umefika, Kwa wale wanaotokea stendi ya segerea panda Bajaji au magari yanayokuja bonyokwa mwisho ukifika hapo ulizia kwa Bendera utaelekezwa