Women Matters (1): Wasichana wasimulia mateso waliyopata Uarabuni walikoenda kufanya kazi za ndani
Simulizi Na Sauti
0:00 / 0:00
Women Matters (1): Wasichana wasimulia mateso waliyopata Uarabuni walikoenda kufanya kazi za ndani
135 775 просмотров · 7 лет назад
Simulizi Na Sauti
1,64 млн подписчиков
135 775 просмотров · 7 лет назад
Kwenye episode hii ya #WomenMatters, Lillian Mwasha anazungumza na Maimuna na Zawadi wanaosimulia mateso waliyopitia walipoenda Uarabuni kufanya kazi za ndani kupitia mawakala ambao hupeleka wasichana huko. Pia amealikwa mwanasheria/wakili maarufu nchini, Albert Msando