Перейти к содержимому

USITEMBEE Kwa MIGUU! CHUKUA GARI KWENYE MNADA HUU Kwa BEI ya JIONI...

Global TV Online

0:00 / 0:00

USITEMBEE Kwa MIGUU! CHUKUA GARI KWENYE MNADA HUU Kwa BEI ya JIONI...

56 562 просмотра · 5 лет назад
Global TV Online
5,93 млн подписчиков
56 562 просмотра · 5 лет назад
USITEMBEE Kwa MIGUU! CHUKUA GARI KWENYE MNADA HUU Kwa BEI ya JIONI... MASETO Auctioneer & Debt Collectors ni kampuni ya Udalali inayojihusisha na ukusanyaji wa madeni sugu na kufanya minada ya bidhaa Mbalimbali zilizotaifishwa kisheria ambapo Makao Makuu yake ni Maeneo ya Lumumba Mnazi mmoja jijini Dar es salaam. Hata hivyo Kampuni hii inafanyakazi na taasisi za kifedha kama vile, mabenki, SACCOS, Serikali pamoja na watu binafsi. KAMPUNI imeandaa mnada Maeneo ya Sinza jijini Dar es salaam ambapo wanatarajiwa kuuza magari mbalimbali yaliyopata ajali kwa bei nafuu kabisa, ambayo ukirekebisha kidogo tu yanaingia barabarani yakiwa mapya kabisa... MASETO Auctioneer & Debt Collectors wanapatikana kwa namba zinazoonekana hapa chini CC: @msetoauctioneer www.masetodebtcollectors.co.tz Phone: 0787288442 au 0623382878