Перейти к содержимому

Magufuli: Marais wa EAC wamefanya kosa sana kunichagua mwenyekiti

JamiiForums

0:00 / 0:00

Magufuli: Marais wa EAC wamefanya kosa sana kunichagua mwenyekiti

403 620 просмотров · 10 лет назад
JamiiForums
138 тыс. подписчиков
403 620 просмотров · 10 лет назад
Rais Magufuli baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Afrika Mashariki, ameiambia sekretarieti ya Afrika Mashariki kuwa marais wa jumuiya wamefanya kosa kubwa sana kumchagua kwani atawafatilia na kuwataka kubana matumizi kwani nchi zote ni maskini.