Перейти к содержимому

Kwaheri Mama Khadija Baramia

Gumzo la Ghassani

0:00 / 0:00

Kwaheri Mama Khadija Baramia

23 933 просмотра · 7 лет назад
Gumzo la Ghassani
44,3 тыс. подписчиков
23 933 просмотра · 7 лет назад
Msanii mkongwe wa Taarab Asilia, Bi Khadija Omar Baramia, amezikwa leo Ijumaa (23 Agosti 2019) katika Makaburi ya Mwanakwerekwe, Unguja, baada ya kufariki dunia akiwa matibabuni nchini Oman. Innalillah wainna ilayhir raajiun.