Ibada ya Asubuhi | 18 - 09 - 2026 | Mt. Israel Mmari
Azania Front Cathedral
0:00 / 0:00
Ibada ya Asubuhi | 18 - 09 - 2026 | Mt. Israel Mmari
852 просмотра · Трансляция закончилась 2 дня назад
Azania Front Cathedral
5,78 тыс. подписчиков
852 просмотра · Трансляция закончилась 2 дня назад
Karibu katika Ibada ya Asubuhi kutokea hapa kanisa Kuu Azania Front Posta Dar Es Salaam.
🎙️Wiki hii tuko na mtumishi wa Mungu Mwalimu Israeli Mmari
👉 Tuna somo lenye kichwa :- MUNGU AWEZA KUYATENDA KWAKO YALE AMBAYO HAYAJATENDEKA.
📋1 WAKORINTHO 2: 9
9. lakini, kama ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, (Wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu,) Mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao.
...........................
1 SAMWELI 16: 4 - 13
4 Samweli akafanya hayo aliyosema Bwana, akaenda Bethlehemu. Wakaja wazee wa mji kumlaki, wakitetemeka, nao wakasema, Je! Umekuja kwa amani?
5 Naye akasema, Naam, kwa amani; nimekuja kumtolea Bwana dhabihu; jitakaseni; njoni pamoja nami kwenye dhabihu. Akawatakasa Yese na wanawe, akawaita kwenye dhabihu.
6 Ikawa walipokuja, alimtazama Eliabu, akasema, Yakini masihi wa BWANA yupo hapa mbele zake.
7 Lakini Bwana akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. Bwana haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali Bwana huutazama moyo.
8 Ndipo Yese akamwita Abinadabu, akampitisha mbele ya Samweli. Naye akasema, Bwana hakumchagua huyu.
9 Ndipo Yese akampitisha Shama. Naye akasema, wala Bwana hakumchagua huyu.
10 Yese akawapitisha wanawe saba mbele ya Samweli. Samweli akamwambia Yese, Bwana hakuwachagua hawa.
11 Kisha Samweli akamwambia Yese, Watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, Amesalia mdogo wao, na tazama, anawachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yese, Tuma watu, wamlete; kwa sababu hatutaketi hata atakapokuja huku.
12 Basi akatuma mtu, naye akamleta kwao. Naye alikuwa mwekundu, mwenye macho mazuri, na umbo lake lilikuwa la kupendeza. Bwana akasema, Ondoka, umtie mafuta; maana huyu ndiye.
13 Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye mafuta, akamtia mafuta kati ya ndugu zake; na roho ya Bwana ikamjilia Daudi kwa nguvu tangu siku ile. Basi Samweli akaondoka, akaenda zake Rama.
MATHAYO 2: 14 - 15
14 Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri;
15 akakaa huko hata alipokufa Herode; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nalimwita mwanangu.
............................
👉 KWA MAOMBI NA USHAURI :
☎️ +255 748 290 290 - MCH. VICTOR MAKUNDI
👉 SADAKA:
LIPA NAMBA [ M-PESA ]: 579 579 4
............................
Shiriki nasi zaidi kupitia:
/Instagram page: / kkkt_azaniafront_cathedral
/Facebook page: https://www.facebook.com/profile.php?...
/Youtube page: / @azaniafrontcathedral
/Website : https://azaniafront.or.tz/
#azaniafrontcathedral #ibadahonline #injiliyakristo #lutheranchurchlivetoday