Перейти к содержимому

MITIMINGI # 186 MWANAMKE ANAHITAJI MATUNZO - JE, KWA NINI NI MUHIMU KUMTUNZA MKEO?

MITIMINGI ONLINE TV

0:00 / 0:00

MITIMINGI # 186 MWANAMKE ANAHITAJI MATUNZO - JE, KWA NINI NI MUHIMU KUMTUNZA MKEO?

137 050 просмотров · 8 лет назад
MITIMINGI ONLINE TV
150 тыс. подписчиков
137 050 просмотров · 8 лет назад
Wanawake wengi sana walio kwenye ndoa, Mahitaji yao Muhimu wanajigharamikia wenyewe. Jukumu kubwa alilopewa mwanaume ni Kutunza Familia (Mke). Katika kitabu cha 1 Wafalme 2. B. Maandiko yanamuhasa mwanaume kuhusu kutunza familia. "Basi uwe hodari ujionyeshe kuwa Mwanamume". Usipomtunza mkeo nani atakutunzia? Challenge. Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Counseling Psychologists +255 713 18 39 39