KIJANA WA KITANZANIA ALIYEBADILI IST YAKE NA KUWEKA MFUMO WA GESI “NAOKOA ELFU 25 KWA SIKU”
Millard Ayo
0:00 / 0:00
KIJANA WA KITANZANIA ALIYEBADILI IST YAKE NA KUWEKA MFUMO WA GESI “NAOKOA ELFU 25 KWA SIKU”
86 416 просмотров · 5 лет назад
Millard Ayo
6,2 млн подписчиков
86 416 просмотров · 5 лет назад
Philipo ni kijana wa kitanzania ambaye amejiajiri kwa kufanya kazi ya udereva wa taxi za mtandaoni, mwaka 2018 alikata tamaa na kutaka kuachana na kazi hiyo sababu ya gharama za petrol kuwa juu na ndipo alipoamua kubadili mfumo wa gari yake Toyota IST ianze kutumia gesi na sio petrol.