FAHAMU NAMNA BORA YA KULEA VIFARANGA VYA KUKU
Amina Mollel
0:00 / 0:00
FAHAMU NAMNA BORA YA KULEA VIFARANGA VYA KUKU
62 238 просмотров · 2 года назад
Amina Mollel
7,9 тыс. подписчиков
62 238 просмотров · 2 года назад
Christopha magesa Dioniz ni kijana mwenye Diploma ya ufugaji wa Ng'ombe, Mbuzi na Kuku. Ni kijana aliyeamua kujikita katika Ujasiriamali akifuga Mbuzi na Kuku Mkoani Dodoma. kwake anasema hahitaji kuajiriwa kwani elimu aliyonayo ya ufugaji ni ajira tosha. Ili kujifunza zaidi Wasiliana nae kwa namba 0782350862.