Familia Kisii yashangazwa na kurejea kwa binti waliyemzika mwaka jana
Citizen TV Kenya
0:00 / 0:00
Familia Kisii yashangazwa na kurejea kwa binti waliyemzika mwaka jana
779 259 просмотров · 6 лет назад
Citizen TV Kenya
6,67 млн подписчиков
779 259 просмотров · 6 лет назад
Hali ya wasiasi imeghubika Kijiji cha Kiabonyoru, Borabu Nyamira kaskazini hii ni baada ya msichana mwenye umri wa miaka 15 aliyekisiwa kuzikwa zaidi ya mwaka moja uliopita kurejea nyumbani. Ajabu ni kwamba polisi maeneo hayo waliidhinisha kwamba chembechembe za DNA zilionyesha kuwa mwenye alizikwa ndiye maiti halisi.