Перейти к содержимому

MREMBO MWENYE MIAKA 19 ARUSHA ANAYEFANYA KAZI ZA BAJAJI KWA AINA TOFAUTI

Millard Ayo

0:00 / 0:00

MREMBO MWENYE MIAKA 19 ARUSHA ANAYEFANYA KAZI ZA BAJAJI KWA AINA TOFAUTI

40 646 просмотров · 5 лет назад
Millard Ayo
6,2 млн подписчиков
40 646 просмотров · 5 лет назад
Rita Richard ni msichana mwenye umri wa miaka 19 ambaye anaishi Arusha lakini ameamua kuanza kupambana ikiwa ni pamoja nakujiajiri kuendesha bajaji za wenzake ambapo inamuwezesha kuingiza fedha kidogo ambayo inamsaidia kuendesha maisha yake huku akiendelea kudunduliza kidogokidogo ili aweze kununua bajaji yake na baadaye aweze kwenda chuo