Перейти к содержимому

SIKU 21 ZA KUFUNGA NA KUOMBA

MAJIRA YA UAMSHO TV

0:00 / 0:00

SIKU 21 ZA KUFUNGA NA KUOMBA

172 просмотра · Трансляция закончилась 5 дней назад
MAJIRA YA UAMSHO TV
96 подписчиков
172 просмотра · Трансляция закончилась 5 дней назад
Karibu katika kanisa la CAG Buhongwa, Mwanza, ibada zetu za wiki ni siku ya Jumatano saa 9:30 jioni mpaka saa 12:00 jioni, Ijumaa saa 9:30 mpaka saa 12:00 jioni, na Jumamosi ni kipindi cha majira ya uamsho, saa 3:00 usiku mpaka saa 4:30 usiku, popote ungana nasi maana umbali sio kizuizi, kwenye uwepo wa Roho Mtakatifu, na ukiamini utapokea muujiza wako katika jina la Yesu