HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI KUGAWA ZAIDI YA VIWANJA 4000 KWA WANANCHI
Mwananchi Digital
0:00 / 0:00
HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI KUGAWA ZAIDI YA VIWANJA 4000 KWA WANANCHI
1 532 просмотра · 5 лет назад
Mwananchi Digital
1,22 млн подписчиков
1 532 просмотра · 5 лет назад
Halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga imetangaza kuuza viwanja zaidi ya 4000 kwa wananchi mbalimbali wa eneo hilo hususani Mkata,kwa lengo la kuboresha madhari ya mji huo ambao umejengwa kiholela na kusababisha baadhi ya huduma kukosekana.
Hayo yamebainishwa na mkurugenzi halmashauri hiyo William Makufwe kwenye ziara yake ya kukagua eneo ya mji mpya wa Mkata,uliopimwa kisasa kwa kuwekewa miundombinu yote muhimu na kusema kuwa kwasasa wapo tayari kuanza kugawa viwanja hivyo kwa wananchi kwa bei nafuu.