Перейти к содержимому

Chips za muhogo & Bajia( Zanzibar Mix part 1)Kiswahili

Aroma Of Zanzibar & Beyond

0:00 / 0:00

Chips za muhogo & Bajia( Zanzibar Mix part 1)Kiswahili

110 732 просмотра · 10 лет назад
Aroma Of Zanzibar & Beyond
253 тыс. подписчиков
110 732 просмотра · 10 лет назад
Mahitaji: Muhogo kiasi Chumvi Mafuta ya kukaanga Kwa kukausha chips weka oven 200F au 95C Bajia: Kunde ( Black eye pea) Kikombe 1 Chooko nusu 1/2 kikombe ( kama utapenda) Kitunguu thom chembe 2 Tangawizi Mbichi kiasi kijiko kimoja kidogo Kitunguu maji 1/2 Majani ya giligilani Pili pili mbichi kama utapenda Chumvi kijiko 1 kidogo au zaidi kama utapenda Baking powder 1/4 robo kijiko kidogo Mafuta ya kukaangia