Baada ya wakulima kuachana na mahindi, bei ya viazi yaporomoka Njombe
Azam TV
0:00 / 0:00
Baada ya wakulima kuachana na mahindi, bei ya viazi yaporomoka Njombe
9 871 просмотр · 7 лет назад
Azam TV
3,3 млн подписчиков
9 871 просмотр · 7 лет назад
Bei ya viazi mviringo imeporomoka katika soko mkoani Njombe, hatua ambayo inatajwa kusababishwa na wakulima wengi kuachana na kilimo cha mahindi baada ya kukosa soko la uhakika msimu uliopita.
#AzamTVApp #AzamTVUpdates