MAOMBI YA UREJESHO-DAY 1
Minister Mocky
0:00 / 0:00
MAOMBI YA UREJESHO-DAY 1
7 786 просмотров · 5 лет назад
Minister Mocky
21,8 тыс. подписчиков
7 786 просмотров · 5 лет назад
Shalom
Nani kama Mungu atupae nafasi nyingine ya kutufungua na kurejesha kila kilichopotea....🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Neno lake linasema;
“Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu. Nanyi mtakula chakula tele na kushiba, na kulihimidi jina la BWANA, Mungu wenu, aliyewatendea mambo ya ajabu; na watu wangu hawatatahayari kamwe.”
Yoe 2:25-26 SUV
Siku hizi mbili ni za maombi juu ya kila kilichowahi kupotea kwenye maisha yako na shetani akakila,
MUNGU ANATAKA KURUDISHA KILA KILICHOIBIWA KWENYE MAISHA YAKO NA KISHA AKUPE SHIBE NA UTELE...
Mwaka huu utaumaliza kwa ushindi
Wajulishe wanawake wote na tuwe tayari kuhudumiwa na Mungu..
Min Mocky