Wazee Kwamsisi Handeni waliamsha tena wamkataa mwekezaji, wataka ardhi yao.
Mwananchi Digital
0:00 / 0:00
Wazee Kwamsisi Handeni waliamsha tena wamkataa mwekezaji, wataka ardhi yao.
3 438 просмотров · 4 года назад
Mwananchi Digital
1,22 млн подписчиков
3 438 просмотров · 4 года назад
Wananchi wa kijiji cha Kwamsisi wilayani Handeni mkoani Tanga,wameiomba serikali kuangalia upya umiliki wa ardhi wa mwekezaji Sasumua Holdings Limited anaemiliki hekta 6,174 kwenye eneo lao na kusababisha wananchi kukosa maeneo ya shughuli za maendeleo.
Wakizungumza kwenye mkutano wao wa hadhara pamoja na mkuu wa wilaya ya Handeni Siriel Mchembe na kamati ya ulinzi na uslaama,wenye lengo la kusikiliza kero hiyo ,wananchi hao walisema zaidi ya kaya 800 zinatakiwa kuhamishwa kwa madai kuwa zipo kwenye shamba la muwekezaji na zinatakiwa kuondoka.