Mjamzito kukosa Usingizi | Insomnia, Kwa nini Mjamzito hukosa Usingizi?
Dr. Mwanyika
0:00 / 0:00
Mjamzito kukosa Usingizi | Insomnia, Kwa nini Mjamzito hukosa Usingizi?
28 888 просмотров · 5 лет назад
Dr. Mwanyika
229 тыс. подписчиков
28 888 просмотров · 5 лет назад
Mambo ambayo huweza kupelekea kukosa usingizi kwa Mama Mjamzito ni kama yafuatayo!
1. Kuongezeka kwa hamu ya kwenda kukojoa Mara kwa Mara usiku!
2. Kupata maumivu ya Mgongo kutokana na kulegezwa kwa ligaments kutokana na ongezeko la homoni ya Relaxin na nk.
3. Kupata Maumivu ya kubana na kauchia wakati wa usiku kwa sababu ya ongezeko la homoni iitwayo oxytocin usiku!
4. Mtoto anapocheza hupelekea wakati mwigine Mama kushindwa kulala ipasavyo!
5. Ugonjwa au shida ya kuwa na Mijongeo ya miguu wakati wa kulala usiku (RLS) kwa baadhi ya wajawazito kutokana na upungufu wa madini chuma na folic acid!
6. Kiungulia na GERD wakati wa Ujauzito na usiku.
7. Kulalia upande mmoja ambapo hupelekea Mjamzito kusijisikia vibaya wakati wa kulala husasani kuanzia miezi 7 kwenda juu.
8. Ongezeko la homoni iitwayo Estrogen ambayo hupunguza uwezekano wa kupati wa usingizi hususani miezi mitatu ya mwisho ya Ujauzito!
9. Matatizo au vitu vinavyopelekea Msongo wa Mawazo au shida za kisaikolojia kwa Mjamzito.
NB: Ukitaka kujifunza zaidi ni fuatilie YouTube kwa jina la Dr.Mwanyika au bonyeza link hapo 👇👇👇👇
/ drmwanyika
Ukiwa unamaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube).
Subscribe,Comment and Share
JapideAfya_Services
Your Health is Our Health
Instagram as @JapideAfya_Services
Facebook page as @JapideAfya_Services
©Dr.Mwanyika.
#MamaAfya
#KukosaUsingizi
#JapideAfya_Services