Je Mjamzito ufanye nini ili uweze kupata Usingizi wa kutosha??? | Njia za kuepuka kukosa Usingizi.
Dr. Mwanyika
0:00 / 0:00
Je Mjamzito ufanye nini ili uweze kupata Usingizi wa kutosha??? | Njia za kuepuka kukosa Usingizi.
10 363 просмотра · 5 лет назад
Dr. Mwanyika
229 тыс. подписчиков
10 363 просмотра · 5 лет назад
Usingizi wa kutosha, Usingizi wa Mjamzito, Usingizi kwa mama mwenye Mimba, Usingizi wa Mimba ya Mjamzito, Usingizi katika kipindi cha Ujauzito, Usingizi wa Mjamzito katika kipindi cha Ujauzito, Usingizi katika kipindi cha Ujauzito na Dr.Mwanyika,
Mambo ambayo unatakiwa kufanya Mama Mjamzito ili kuhakikisha unapata Usingizi wa kutosha (Sleep Hygiene) ni kama yafuatayo kulingana na (CDC);
1. Hakikisha Unalala au Kuamka kwa wakati unaofanana kila siku na usilale au kuamka bila mpangilio hata kama ni weekend.!
2. Hakikisha ndani ya chumba cha kulala kuna Utulivu, Giza na Joto ambalo haliwezi kuathiri Uwezekano wa kulala yani lisiwe baridi sana wala joto Kali sana!
3. Usiende Kulala na Vyombo vya Electronic vinavyo toa Mwamba wa Blue mfano; Simu, Computer na TVs!.
4. Hakikisha unakula chakula kiasi tu, usile chakula kingi wakati wa Usiku.!
5. Usinywe Pombe au Vinywaji vyenye vya Caffeine mfano; Soda za Coca cola au Pepsi!.
6. Hakikisha unakula chako cha usiku/jioni masaa 2 au 3 kabla ya kulala, usile na kwenda kulala muda huo huo.
7. Epuka kunywa Maji mengi, Vyakula vyenye maji maji au matunda mfano; Tikiti wakati wa Jioni au Usiku.
8. Hakikisha unafanya mazoezi kwa muda wa dakika 30 kila siku mfano wa mazoezi; Kutembea kwa miguu.
9. Epukana na Msongo wa mawazo au shida mfano ;Sonona wakati wa Ujauzito.
10. Mwone daktari anaweza kukuandikia Dawa za kuongeza usingizi lakini kwa Bahati mbaya kwako wewe Mjamzito huwa hazifai kwa sababu Dawa hizo huathiri Afya ya Mtoto aliyeko tumboni mwako pia.
NB: Ukitaka kujifunza zaidi ni fuatilie YouTube kwa jina la Dr.Mwanyika au bonyeza link hapo 👇👇👇👇
/ drmwanyika
Ukiwa unamaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube).
Subscribe,Comment and Share
JapideAfya_Services
Your Health is Our Health
Instagram as @JapideAfya_Services
Facebook page as @JapideAfya_Services
©Dr.Mwanyika.
#MamaAfya
#UsingiziWaKutosha
#JapideAfya_Services