Перейти к содержимому

Bwana ni mwanga wangu na wokovu wangu (Zaburi 27: 1, 7-8,9a b c, 13-14) K 27:1a

Chellah Pretty

0:00 / 0:00

Bwana ni mwanga wangu na wokovu wangu (Zaburi 27: 1, 7-8,9a b c, 13-14) K 27:1a

3 052 просмотра · 4 года назад
Chellah Pretty
1,77 тыс. подписчиков
3 052 просмотра · 4 года назад
Jumapili ya pili ya Kwaresma Bwana ni mwanga wangu na wokovu wangu nimwogope nani Bwana ni kinga ya uzima wangu nimhofu nani Ee Bwana, usikie sauti yangu ninapokulilia Unihurumie unijibu Moyo wangu unasema, Njoo utafute iso wake Mungu Nitakutafuta uso wako Ee Bwana Usinifiche uso wako usimkatae kwa hasira mtumishi wako Wewe ndiwe msaada wangu Usinitupe, wala usiniache mwokozi wangu Naamini ya kuwa nitauona wokovu wa Bwana Katika nchi ya walio hai Umngoje Bwana, uwe hodari Ujipe moyo, naam, umngoje Bwana