Перейти к содержимому

DC Handeni aingilia kati kufukuzwa kazi wananchi 50 mgodi wa Magambazi

Mwananchi Digital

0:00 / 0:00

DC Handeni aingilia kati kufukuzwa kazi wananchi 50 mgodi wa Magambazi

731 просмотр · 5 лет назад
Mwananchi Digital
1,22 млн подписчиков
731 просмотр · 5 лет назад
Mkuu wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga Siriel Mchembe ameingilia kati na kutoa mwezi mmoja kwa uongozi wa mgodi wa Dhahabu wa Magambazi kuwapatia stahiki zao wafanyakazi zaidi ya 50 ambao wamewafukuza ila kunyimwa barua zao ili kwenda kuchukua pesa zao kwenye mifuko wa jamii wa NSSF. Akizungumza baada ya kutembelea mgodi huo wa Magambazi akiwa na kamati ya ulinzi na usalama kuangalia jinsi uzalishaji dhahabu unavyoendelea,mkuu huyo wa wilaya amesema amepata malalamiko kuna wananchi na askari polisi wameondolewa kwenye mgodi lakini hawajalipwa stahiki zao,hivyo kuagizwa utatuzi kufanyika