Перейти к содержимому

JAFO: MALORI YA MAKAA YA MAWE YAFUNIKWE TURUBAI

Khomein Tv

0:00 / 0:00

JAFO: MALORI YA MAKAA YA MAWE YAFUNIKWE TURUBAI

312 просмотров · 3 года назад
Khomein Tv
8,05 тыс. подписчиков
312 просмотров · 3 года назад
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemeani Jafo, amewaagiza wawekezaji wote katika biasharaya usafirishaji wa Makaa ya Mawe, kuhakikisha Malori yote yanayosafirisha bidhaa hiyo yanafunikwa vizuri na turubai, kuzuia uchafuzi wa mazingira. Jafo ametoa agizo hilo Julai 24, 2023 akiwa katika eneo la kuhifadhia Makaa ya Mawe ya kampuni ya Jitegemee Holdings, alipofika kukagua namna wanavyozingatia utunzaji wa mazingira. Muandaaji: JUMA MOHAMED PIA USIACHE KU SUBSCRIBE CHANEL YETU Khomein TV YOUTUBE UWE WA KWANZA KUFIKIWA NA HABARI ZETU